2 Timotheo 2:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192111 Neno hili ni neno la kuaminiwa. Maana kama tukifa pamoja nae, tutaishi pamoja nae pia; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Usemi huu ni wa kweli: “Ikiwa tulikufa pamoja naye, tutaishi pia pamoja naye. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Usemi huu ni wa kweli: “Ikiwa tulikufa pamoja naye, tutaishi pia pamoja naye. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Usemi huu ni wa kweli: “Ikiwa tulikufa pamoja naye, tutaishi pia pamoja naye. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Hili ni neno la kuaminiwa: Kama tumekufa pamoja naye, tutaishi pia pamoja naye. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Hili ni neno la kuaminiwa: Kwa maana kama tumekufa pamoja naye, tutaishi pia pamoja naye. Tazama sura |