Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Timotheo 1:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

4 nikikumbuka machozi yako, illi nijae furaha;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Nakumbuka machozi yako na ninatamani sana kukuona, ili nijazwe furaha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Nakumbuka machozi yako na ninatamani sana kukuona, ili nijazwe furaha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Nakumbuka machozi yako na ninatamani sana kukuona, ili nijazwe furaha.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Nikiyakumbuka machozi yako, ninatamani sana kukuona ili nipate kujawa na furaha.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Nikiyakumbuka machozi yako, ninatamani sana kukuona ili nipate kujawa na furaha.

Tazama sura Nakili




2 Timotheo 1:4
19 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi na ninyi sasa hivi mna huzuni; lakini nitawaona tena, na moyo wenu utafurahi, na furaha yenu hakuna awaondoleae.


Mpaka leo hamkuomba neno kwa jina langu; ombeni, na mtapata, furaha yenu iwe timilifu.


nikimtumikia Bwana kwa unyenyekevu wote, na machozi, na majaribu yaliyonipata kwa hila za Wayahudi;


Kwa biyo kesheni, mkikumbuka kama miaka mitatu, usiku na mchana, sikuacha kumwonya killa mtu kwa machozi.


kwa maana ninatamani sana kuwaona, nipate kuwapeni karama ya rohoni, illi mfanywe imara;


Maana Mungu ni shahidi wangu, jinsi ninavyowaonea shauku katika moyo wake Kristo Yesu.


Kwa kuwa alikuwa na shanku kwenu ninyi nyote, akahuzunika sana, kwa sababu mlisikia ya kwamba alikuwa hawezi.


Lakini sisi, ndugu, tukifarakana nanyi kwa kitambo, kwa nso si kwa moyo, tulitamani zaidi kuwaona nyuso zenu, kwa shauku nyingi.


Jitahidi kuja kabla ya wakati wa baridi. Eubulo akusalimu, na Pudente, na Lino, na Klaudia, na ndugu wote pia.


Jitahidi kuja kwangu upesi;


Na haya twawaandikieni, illi furaha yenu itimizwe.


Nae atafuta killa chozi katika macho yao, wala mauti haitakuwapo tena: wala maombolezo, wala kilio, wala taabu haitakuwapo tena; kwa kuwa mambo ya kwanza yamekwisha kupita.


Kwa maana Mwana Kondoo aliye kati kati ya kiti cha enzi atawachunga, nae atawaongoza kwenye chemcheni za inaji yenye uhayi, na Mungu atayafuta machozi yote katika macho yao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo