2 Timotheo 1:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192118 Bwana na ampe kuona rehema kwa Bwana siku ile. Na jinsi alivyonikhudumia katika Efeso, wewe wajua sana. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Bwana amjalie kupata huruma ya Mungu katika siku ile! Nawe wajua vizuri mengi aliyonifanyia huko Efeso. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Bwana amjalie kupata huruma ya Mungu katika siku ile! Nawe wajua vizuri mengi aliyonifanyia huko Efeso. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Bwana amjalie kupata huruma ya Mungu katika siku ile! Nawe wajua vizuri mengi aliyonifanyia huko Efeso. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Bwana Isa na amjalie kupata rehema zake siku ile! Nawe unajua vyema jinsi alivyonisaidia huko Efeso. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Bwana Isa na amjalie kupata rehema zake siku ile! Nawe unajua vyema jinsi alivyonisaidia huko Efeso. Tazama sura |