2 Timotheo 1:1 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19211 PAOLO, mtume wa Yesu Kristo, kama alivyopenda Mungu, kwa ahadi ya uzima ulio katika Yesu Kristo: Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Mimi Paulo, ambaye Mungu alitaka niwe mtume wa Kristo Yesu ili niutangaze ule uhai tulioahidiwa katika kuungana na Kristo Yesu, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Mimi Paulo, ambaye Mungu alitaka niwe mtume wa Kristo Yesu ili niutangaze ule uhai tulioahidiwa katika kuungana na Kristo Yesu, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Mimi Paulo, ambaye Mungu alitaka niwe mtume wa Kristo Yesu ili niutangaze ule uhai tulioahidiwa katika kuungana na Kristo Yesu, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Paulo mtume wa Al-Masihi Isa kwa mapenzi ya Mungu, kulingana na ile ahadi ya uzima ulio ndani ya Al-Masihi Isa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Paulo mtume wa Al-Masihi Isa kwa mapenzi ya Mwenyezi Mungu, kulingana na ile ahadi ya uzima uliomo ndani ya Al-Masihi Isa. Tazama sura |