2 Petro 3:2 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19212 mpate kuyakumbuka maneno yaliyonenwa zamani na manabii watakatifu, na ile amri ya Bwana Mwokozi iliyoletwa na mitume wake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Napenda mkumbuke maneno yaliyosemwa na manabii watakatifu, na ile amri ya Bwana na Mwokozi mliyopewa na mitume wenu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Napenda mkumbuke maneno yaliyosemwa na manabii watakatifu, na ile amri ya Bwana na Mwokozi mliyopewa na mitume wenu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Napenda mkumbuke maneno yaliyosemwa na manabii watakatifu, na ile amri ya Bwana na Mwokozi mliyopewa na mitume wenu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Nataka ninyi mkumbuke maneno yaliyosemwa zamani na manabii watakatifu na ile amri ya Bwana na Mwokozi wetu mliyopewa kupitia kwa mitume wenu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Nataka ninyi mkumbuke maneno yaliyosemwa zamani na manabii watakatifu na ile amri ya Bwana na Mwokozi Isa mliyopewa kupitia kwa mitume wenu. Tazama sura |