Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Petro 2:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

5 wala hakuuachilia ulimwengu wa kale, bali alimhifadhi Nuhu, mjumbe wa haki, na watu wengine saba, hapo alipoleta gharika juu ya ulimwengu wa wasiomeha Mungu,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Mungu hakuihurumia dunia ya hapo kale, bali alileta gharika kuu juu ya nchi ile ya watu wasiomcha Mungu; lakini Noa ambaye alihubiri uadilifu, Mungu alimwokoa pamoja na watu wengine saba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Mungu hakuihurumia dunia ya hapo kale, bali alileta gharika kuu juu ya nchi ile ya watu wasiomcha Mungu; lakini Noa ambaye alihubiri uadilifu, Mungu alimwokoa pamoja na watu wengine saba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Mungu hakuihurumia dunia ya hapo kale, bali alileta gharika kuu juu ya nchi ile ya watu wasiomcha Mungu; lakini Noa ambaye alihubiri uadilifu, Mungu alimwokoa pamoja na watu wengine saba.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 kama hakuusamehe ulimwengu wa kale alipoleta gharika juu ya watu wale wasiomcha Mungu, lakini akamhifadhi Nuhu, mhubiri wa haki, pamoja na watu wengine saba;

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 kama hakuusamehe ulimwengu wa kale alipoleta gharika juu ya watu wale wasiomcha Mungu, bali akamhifadhi Nuhu, mhubiri wa haki, pamoja na watu wengine saba;

Tazama sura Nakili




2 Petro 2:5
12 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa imani Nuhu akiisha kuonywa na Mungu khabari za mambo yasiyoonekana bado, kwa kumcha Mungu, aliunda safina, apate kuokoa nyumba yake. Kwa hiyo akauhukumu ulimwengu, akawa mrithi wa haki ipatikanayo kwa imani.


kwa hayo dunia ile ya wakati ule iligharikishwa na maji, ikaangamia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo