Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Yohana 5:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

3 Kwa maana huku ndiko kumpenda Mungu, kuzisinka amri zake: na amri zake si nzito.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 maana kumpenda Mungu ni kuzitii amri zake. Na, amri zake si ngumu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 maana kumpenda Mungu ni kuzitii amri zake. Na, amri zake si ngumu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 maana kumpenda Mungu ni kuzitii amri zake. Na, amri zake si ngumu,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Huku ndiko kumpenda Mungu, yaani kuzitii amri zake. Nazo amri zake si nzito.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Huku ndiko kumpenda Mungu, yaani, kuzitii amri zake. Nazo amri zake si nzito.

Tazama sura Nakili




1 Yohana 5:3
26 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana hufunga mizigo mizito isiyochukulika na kuwatwika watu mabegani mwao; wasitake wenyewe kuisogeza kwa kidole chao.


Mkinipenda mtazishika amri zangu.


Mkizishika amri zangu, mtakaa katika pendo langu; kama mimi nilivyozishika amri za Baba yangu, na kukaa katika pendo lake.


Ninyi m rafiki zangu, mkitenda niwaamuruyo.


Bassi torati ni takatifu na ile amri takatifu ua ya haki na wema.


Kwa maana naifurahia sharia ya Mungu kwa mtu wa ndani,


Maana hili ndilo agano nitakalofanyana na nyumba ya Israeli baada ya siku zile, asema Bwana; nitatia sharia zangu katika nia zao, na katika mioyo yao nitaziandika; nami mtakuwa Mungu kwao, nao watakuwa watu waugu.


Na hivi twajua ya kuwa tumemjua, ikiwa tunashika amri zake.


Na huu ndio upendo: tuenende kwa kuzifuata amri zake. Illi ndiyo ile amri, kama ulivyosikia tangu mwanzo kwamba mwenende katika hiyo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo