Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Yohana 5:17 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

17 Killa lisilo la haki ni kosa, na kosa liko lisilo la mauti.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Kila tendo lisilo adilifu ni dhambi, lakini kuna dhambi isiyompeleka mtu kwenye kifo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Kila tendo lisilo adilifu ni dhambi, lakini kuna dhambi isiyompeleka mtu kwenye kifo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Kila tendo lisilo adilifu ni dhambi, lakini kuna dhambi isiyompeleka mtu kwenye kifo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Jambo lolote lisilo la haki ni dhambi, lakini iko dhambi isiyo ya mauti.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Jambo lolote lisilo la haki ni dhambi, lakini iko dhambi isiyo ya mauti.

Tazama sura Nakili




1 Yohana 5:17
10 Marejeleo ya Msalaba  

Khalafu ile tamaa ikiisha kuchuikua mimba huzaa dhambi, na ile dhambi ikiisha kukomaa huzaa mauti.


WATOTO wangu wadogo, nawaandikia haya illi msitende dhambi. Na ijapo mtu akatenda dhambi tuna Mwombezi kwa Baba, Yesu Kristo mwenye haki,


Killa afanyae dhambi, afanya nasi; kwa kuwa dhambi ni nasi.


Mtu akimwona ndugu yake anakosa kosa lisilo la mauti, ataomba, nae atampa uzima kwa ajili ya hawo wakosao kosa lisilo la mauti. Liko kosa lililo la mauti. Sisemi ya kwamba ataomba kwa ajili ya hilo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo