Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Yohana 4:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

8 Asiyependa, hakumjua Mungu, kwa maana Mungu ni pendo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Mtu asiye na upendo hamjui Mungu, maana Mungu ni upendo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Mtu asiye na upendo hamjui Mungu, maana Mungu ni upendo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Mtu asiye na upendo hamjui Mungu, maana Mungu ni upendo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Yeye asiyependa hamjui Mungu, kwa sababu Mungu ni pendo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Yeye asiyependa hamjui Mungu, kwa sababu Mwenyezi Mungu ni pendo.

Tazama sura Nakili




1 Yohana 4:8
14 Marejeleo ya Msalaba  

Khatimae, ndugu, kwa kherini; mtimilike, mfarajike, nieni mamoja, mkae katika imani; na Mungu wa upendo na amani awe pamoja nanyi.


Lakini Mungu kwa kuwa mwingi wa rehema, kwa mapenzi yake makuu aliyotupenda,


maana Mungu wetu ni moto ulao.


Na hii ndiyo khabari tuliyoisikia kwake, na kuikhubiri kwenu, ya kwamba Mungu ni nuru, wala giza yo yote hamna ndani yake.


Yeye asemae, Nimemjua, nae hazishiki amri zake, ni mwongo, na kweli haimo ndani yake.


Yeye asemae kwamba yumo katika nuru, nae amchukia ndugu yake, yumo gizani hatta sasa.


Hivi watoto wa Mungu ni dhahiri, na watoto wa Shetani. Mtu aliye yote asiyefanya haki hatokani na Mungu, wala yeye asiyempenda ndugu yake.


Killa akaae ndani yake batendi dhambi; killa atendae dhambi bakumwona, wala hakumtambua.


Na sisi tumelifahamu pendo alilo nalo Mungu ndani yetu na kuliamini. Mungu ni pendo, nae akaae katika pendo, hukaa ndani ya Mungu, na Mungu hukaa ndani yake.


Wapenzi, tupendane: kwa kuwa pendo ni la Mungu, na killa apendae amezaliwa na Mungu, nae anamjua Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo