Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Yohana 4:21 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

21 Na amri hii tumepewa nae, ya kwamba yeye ampendae Mungu, ampende na ndugu yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Basi, hii ndiyo amri aliyotupa Kristo: Anayempenda Mungu anapaswa pia kumpenda ndugu yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Basi, hii ndiyo amri aliyotupa Kristo: Anayempenda Mungu anapaswa pia kumpenda ndugu yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Basi, hii ndiyo amri aliyotupa Kristo: Anayempenda Mungu anapaswa pia kumpenda ndugu yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Naye ametupatia amri hii: Yeyote anayempenda Mungu lazima pia ampende ndugu yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Naye ametupa amri hii: Yeyote anayempenda Mungu lazima pia ampende ndugu yake.

Tazama sura Nakili




1 Yohana 4:21
20 Marejeleo ya Msalaba  

Mmesikia walivyoambiwa, Mpende jirani yako, na, Mchukie adui yako:


Akasema, Ni yule aliyemfanyia huruma. Yesu akamwambia, Enenda zako, nawe ukafanye kama hayo.


Amri yangu ndio hii, mpendane, kama nilivyowapenda ninyi.


Maana sharia yote imetimilika katika neno moja, nalo ni hili, Umpende jirani yako kama nafsi yako.


Maana katika Kristo Yesu kutahiriwa hakufai neno wala kutokutahiriwa, bali imani itendayo kazi kwa upendo.


Kwa khabari ya upendano, hamna haja niwaandikie: maana ninyi wenyewe mmefundishwa na Mungu kupendana.


Neno la mwisbo ni hili; mwe na nia moja, wahurumianao, wenye kupendana kama ndugu, wasikitikivu, wanyenyekevu;


zaidi ya yote mwe na juhudi nyingi katika kupendana; kwa sababu upendano husetiri wingi wa dhambi;


Ndugu, siwaandikii amri mpya, illa amri ya zamani mliyokuwa nayo tangu mwanzo.


Maana hii ndiyo khabari tuliyosikia tangu mwanzo, tupendane sisi kwa sisi;


Sisi tunajua ya kuwa tumepita toka mauti hatta uzima, kwa maana twawapenda ndugu. Asiyependa, akaa katika mauti.


Watoto, tusipende kwa neno, wala kwa ulimi, biali kwa tendo na kweli.


Na hii ndiyo amri yake, tuliamini jina la Mwana wake Yesu Kristo, na kupendana, kama alivyotupa amri.


Wapenzi, ikiwa Mungu alitupenda sisi hivi, imetupasa na sisi kupendana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo