Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Yohana 4:19 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

19 Sisi twapenda kwa maana yeye kwanza alitupenda sisi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Sisi tuna upendo kwa sababu Mungu alitupenda kwanza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Sisi tuna upendo kwa sababu Mungu alitupenda kwanza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Sisi tuna upendo kwa sababu Mungu alitupenda kwanza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Twampenda yeye kwa sababu yeye alitupenda kwanza.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Twampenda yeye kwa sababu yeye alitupenda kwanza.

Tazama sura Nakili




1 Yohana 4:19
9 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa ajili hiyo, nakuambia, Amesamehewa dhambi zake zilizo nyingi kwa kuwa amependa sana. Nae asamehewae kidogo hupenda kidogo.


Si ninyi mlionichagua mimi, bali mimi niliyewachagua ninyi, nikawaamuru, mwende zenu mkazae, mazao yenu yakakae: illi lo lote mmwombalo Baba kwa Jina langu, awapeni.


Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hatta akampeleka Mwana wake wa pekee, illi mtu aliye yote amwaminiye asipotee, bali apate uzima wa milele.


Lakini matunda ya Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu,


Hili ndilo pendo, si kwamba sisi twalimpenda Mungu, bali kwamba yeye alitupenda sisi, akampeleka Mwana wake kuwa kipatanislio kwa dhambi zetu.


Mtu akisema, Nampenda Mungu, nae anamchukia ndugu yake, yu mwongo; kwa maana asiyempenda ndugu yake ambae amemwona, hawezi kumpenda Mungu ambae hakumwona.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo