Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Yohana 4:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

11 Wapenzi, ikiwa Mungu alitupenda sisi hivi, imetupasa na sisi kupendana.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Wapenzi wangu, ikiwa Mungu alitupenda hivyo, basi, nasi tunapaswa kupendana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Wapenzi wangu, ikiwa Mungu alitupenda hivyo, basi, nasi tunapaswa kupendana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Wapenzi wangu, ikiwa Mungu alitupenda hivyo, basi, nasi tunapaswa kupendana.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Wapendwa, kama Mungu alivyotupenda sisi, imetupasa na sisi kupendana.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Marafiki wapendwa, kama Mungu alivyotupenda sisi, imetupasa na sisi kupendana.

Tazama sura Nakili




1 Yohana 4:11
14 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, Ni yule aliyemfanyia huruma. Yesu akamwambia, Enenda zako, nawe ukafanye kama hayo.


Amri mpya nawapeni, mpendane; kama vile nilivyowapenda ninyi, na ninyi mpendane vivyo hivyo.


Uchungu wote na hasira na ghadhabu na kelele na matukano yaondoke kwenu, pamoja na killa ubaya;


mkichukuliana, na kuachiliana, mtu akiwa na sababu ya kumlaumu mtu; jinsi Kristo alivyowaachilieni, vivyo hivyo na ninyi.


Ndugu, siwaandikii amri mpya, illa amri ya zamani mliyokuwa nayo tangu mwanzo.


Maana hii ndiyo khabari tuliyosikia tangu mwanzo, tupendane sisi kwa sisi;


Na hii ndiyo amri yake, tuliamini jina la Mwana wake Yesu Kristo, na kupendana, kama alivyotupa amri.


Wapenzi, tupendane: kwa kuwa pendo ni la Mungu, na killa apendae amezaliwa na Mungu, nae anamjua Mungu.


Na sasa, Bibi, nakuomba, si kwamba nakuandikia amri mpya, bali ile tuliyokuwa nayo tangu mwanzo, kwamba tupendane.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo