1 Yohana 3:7 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19217 Wanangu, mtu asikudanganyeni; afanyae haki yuna haki, kama yeye alivyo na haki; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Basi, watoto wangu, msikubali kupotoshwa na mtu yeyote. Mtu atendaye matendo maadilifu ni mwadilifu kama vile Kristo alivyo mwadilifu kabisa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Basi, watoto wangu, msikubali kupotoshwa na mtu yeyote. Mtu atendaye matendo maadilifu ni mwadilifu kama vile Kristo alivyo mwadilifu kabisa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Basi, watoto wangu, msikubali kupotoshwa na mtu yeyote. Mtu atendaye matendo maadilifu ni mwadilifu kama vile Kristo alivyo mwadilifu kabisa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Watoto wapendwa, mtu yeyote asiwadanganye. Kila mtu atendaye haki ana haki, kama yeye alivyo na haki. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Watoto wapendwa, mtu yeyote asiwadanganye. Kila mtu atendaye haki ana haki, kama yeye alivyo na haki. Tazama sura |