Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Yohana 3:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

4 Killa afanyae dhambi, afanya nasi; kwa kuwa dhambi ni nasi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Kila mtu atendaye dhambi anavunja sheria ya Mungu, maana dhambi ni uvunjaji wa sheria.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Kila mtu atendaye dhambi anavunja sheria ya Mungu, maana dhambi ni uvunjaji wa sheria.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Kila mtu atendaye dhambi anavunja sheria ya Mungu, maana dhambi ni uvunjaji wa sheria.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Kila mtu atendaye dhambi afanya uasi, kwa kuwa dhambi ni uasi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Kila mtu atendaye dhambi afanya uasi, kwa kuwa dhambi ni uasi.

Tazama sura Nakili




1 Yohana 3:4
17 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi mtu atakaevunja amri moja katika hizi zilizo ndogo, na kuwafundisha wafu hivi, atakwitwa mdogo kabisa katika ufalme wa mbinguni: bali mtu atakaezitenda na kufundisha, huyu afakwitwa mkubwa katika ufalme wa mbinguni.


Ndipo Paolo akamwambia, Mungu atakupiga wewe, ukuta uliopakwa chokaa. Wewe umeketi kunihukumu sawasawa na sharia, nawe unaamuru nipigwe kinyume cha sharia?


kwa maana hapana mwenye mwili atakaehesabiwa kuwa na haki mbele za Mungu, kwa matendo ya sheria: kwa maanii kujua dhambi kabisa huja kwa njia ya sharia.


Kwa sababu sharia ndiyo ifanyayo hasira; maana pasipo sharia, hapana kosa.


nami nitakapokuja tena, Mungu wangu akanidhili kwenu, nikawasikitikia wengi waliokosa zamani, wala hawakutubia nchafu, na uzinzi, na uasharati walioufanya.


Na kule kuomba kwa imani kutamwokoa mgonjwa yule, na Bwana atamwinua; na kama amefanya dhambi, atasamehewa.


Killa lisilo la haki ni kosa, na kosa liko lisilo la mauti.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo