Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Yohana 3:21 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

21 Wapenzi, mioyo yetu isipotuhukumu, tuna ujasiri kwa Mungu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Wapenzi wangu, kama dhamiri zetu hazina lawama juu yetu, basi, twaweza kuwa na uthabiti mbele ya Mungu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Wapenzi wangu, kama dhamiri zetu hazina lawama juu yetu, basi, twaweza kuwa na uthabiti mbele ya Mungu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Wapenzi wangu, kama dhamiri zetu hazina lawama juu yetu, basi, twaweza kuwa na uthabiti mbele ya Mungu,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Wapendwa, kama mioyo yetu haituhukumu, tunao ujasiri mbele za Mungu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Wapendwa, kama mioyo yetu haituhukumu, tunao ujasiri mbele za Mungu,

Tazama sura Nakili




1 Yohana 3:21
17 Marejeleo ya Msalaba  

Je! unayo imani? Uwe nayo nafsini mwako mbele za Mungu. Yu kheri mtu yule asiyejihukumu katika neno lile alikubalilo.


Maana sijui sababu ya kujishitaki nafsi yangu, lakini sihesabikiwi haki kwa ajili hiyo; illa aninukumuye ni Bwana.


Hwa maana kujisifu kwetu ni huku, ushuhuda wa dhamiri yetu, ya kwamba kwa unyofu na weupe wa moyo utokao kwa Mungu, si kwa hekima ya mwili, bali kwa neema ya Mungu, tulienenda katika dunia, na khassa kwenu ninyi.


Katika yeye tuna ajasiri na uwezo wa kukaribia katika tumaini kwa njia ya imani yake.


Bassi nataka wanaume waombe killa mahali, wakimua mikono mitakatifu, pasipo hasira na majadiliano.


tukaribie wenye moyo wa kweli, kwa utimilifu wa imani, tumenyunyiziwa mioyo tuache dhamiri mbaya, tumeoshwa mwili kwa maji safi.


Bassi na tukikaribie kiti cha neema kwa nthubuitifu, illi tupewe rehema, na kupata neema ya kutusaidia wakati wa mahitaji.


Na sasa, watoto wadogo, kaeni ndani yake, illi, atakapofunuliwa, tuwe na ujasiri, wala tusiaibishwe mbele zake katika kuja kwake.


Ndugu, siwaandikii amri mpya, illa amri ya zamani mliyokuwa nayo tangu mwanzo.


Wapenzi, sasa tu wana wti Mungu, wala haijadhihirika bado tutakidokuwa: lakini twajua ya kuwa akidhihiri, tutafanana nae; kwa maana tutamwona kama alivyo.


katika neno lo lote inalotuhukumu mioyo yetu; kwa maana Mungu ni mkuu kuliko mioyo yetu nae anajua yote.


Hivi pendo limekamilishwa kwetu, tuwe na ujasiri katika siku ya hukumu; kwa kuwa, kama yeye alivyo, ndivyo tulivyo na sisi ulimwenguni humu.


Na huu ndio njasiri tulio nao kwake, ya kuwa, tukiomba kitu kama vile apendavyo, atusikia:


Tufuate:

Matangazo


Matangazo