Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Yohana 3:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

18 Watoto, tusipende kwa neno, wala kwa ulimi, biali kwa tendo na kweli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Watoto wangu, upendo wetu usiwe maneno matupu, bali uwe upendo wa kweli na wa vitendo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Watoto wangu, upendo wetu usiwe maneno matupu, bali uwe upendo wa kweli na wa vitendo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Watoto wangu, upendo wetu usiwe maneno matupu, bali uwe upendo wa kweli na wa vitendo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Watoto wapendwa, tusipende kwa maneno au kwa ulimi bali kwa tendo na kweli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Watoto wapendwa, tusipende kwa maneno au kwa ulimi bali kwa tendo na kweli.

Tazama sura Nakili




1 Yohana 3:18
18 Marejeleo ya Msalaba  

ya kama, Astahili umtendee neno hili, maana apenda taifu letu, nae alitujengea sunagogi letu.


Na kwa ajili yao najitakasa, illi na hawa watakaswe katika kweli.


Pendo niwe nalo pasipo unafiki; mkichukia lililo ovu, mkiambatana na lililo jema.


Maana ninyi, ndugu, mliitwa mpate uhuru; lakini uhuru wenu usiwe sababu ya kuufuata mwili, bali khudumianeni kwa upendo.


lakini tukiishika kweli katika upendo, tukue mpaka tumfikie ycye katika yote, aliye kichwa, Kristo;


wala hatuachi kuikumbuka kazi yenu ya amani, na taabu yenu ya upendo, na uvumilivu wenu wa tumaini lililo katika Bwana Yesu Kristo, mbele za Mungu Baba yetu;


Mkiisha kujisafisha roho zenu kwa kuitii kweli, kwa Roho, kiasi cha kuufikilia upendano usio na unafiki, bassi jitahidini kupendana kwa moyo;


WATOTO wangu wadogo, nawaandikia haya illi msitende dhambi. Na ijapo mtu akatenda dhambi tuna Mwombezi kwa Baba, Yesu Kristo mwenye haki,


Wanangu, mtu asikudanganyeni; afanyae haki yuna haki, kama yeye alivyo na haki;


MZEE kwa bibi mteule na watoto wake niwapendao katika kweli; wala si mimi peke yangu, bali na ndugu wote waijuao ile kweli;


MZEE kwa Gaio mpenzi, nimpendae katika kweli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo