Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Yohana 3:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

13 Msistaajabu, ndugu, ulimwengu ukiwachukia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Basi, ndugu zangu, msishangae kama ulimwengu unawachukia nyinyi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Basi, ndugu zangu, msishangae kama ulimwengu unawachukia nyinyi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Basi, ndugu zangu, msishangae kama ulimwengu unawachukia nyinyi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Ndugu zangu, ninyi msistaajabu kama ulimwengu ukiwachukia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Ndugu zangu, ninyi msistaajabu kama ulimwengu ukiwachukia.

Tazama sura Nakili




1 Yohana 3:13
18 Marejeleo ya Msalaba  

Na mtakuwa mkichukiwa na watu wole kwa ajili ya jina langu: lakini adumuye hatta mwisho, ndiye atakaeokoka.


Wakati huo watawasaliti ninyi mpate kuteswa, na watawaua; na mtakuwa watu wa kuchukiwa na mataifa vote kwa ajili ya jina langu.


Nanyi mtachukiwa na watu wote kwa ajili ya jina langu; lakini mwenye kustahimili hatta mwisho, ndiye atakaeokoka.


Mtachukizwa na watu wote kwa ajili ya jina langu.


M kheri ninyi, wana Adamu watakapowachukieni na watakapowaharamisha, na kuwashutumu, na kulitupa nje jina lenu kuma kitu kiovu, kwa ajili yake Mwana wa Adamu.


Watawaharamisha masunagogi: naam, saa inakuja, atakapodhani killa mtu awauae kuwa amtolea Mungu ibada.


Haya nimewaambieni, mpate kuwa na amani ndani yangu. Ulimwenguni mtapata shidda: lakini jipeni moyo; mimi nimeushinda ulimwengu.


Mimi nimewapa neno lako; na ulimwengu uliwachukia, kwa kuwa wao si watu wa ulimwengu, kama mimi nisivyo wa ulimwengu.


Usitaajahu kwa kuwa nilikuambia, Hamna buddi kuzaliwa marra ya pili.


Ulimwengu hauwezi kuwachukia ninyi: bali hunichukia mimi, kwa sababu mimi naushuhudia ya kuwa kazi zake ni mbovu.


Hatta Petro alipoona haya akawajibu watu, Enyi Waisraeli, mbona mnastaajabia haya, au mbona mnatukazia macho sisi, kana kwamba tumemfanya huyu aende kwa nguvu zetu sisi, au kwa utawa wetu sisi?


Kwa kuwa ile nia ya mwili ni uadui juu ya Mungu, kwa maana haitii sharia ya Mungu wala haiwezi.


Naam, na wote wapendao kuishi maisha ya ntawa katika Kristo Yesu wataudhiwa.


Enyi wazinzi, wanaume na wanawake, hamjui ya kuwa rafiki wa dunia ni kuwa adui wa Mungu? bassi killa atakae kuwa rafiki wa dunia ajifanya kuwa adui wa Mungu.


Na yule malaika akaniambia, Kwani kustaajabu? Nitakuambia siri ya mwanamke huyu, na ya nyama amehukuae, mwenye vile vichwa saba na zile pemhe kumi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo