Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Yohana 3:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

11 Maana hii ndiyo khabari tuliyosikia tangu mwanzo, tupendane sisi kwa sisi;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Na, ujumbe mliousikia tangu mwanzo ndio huu: Tunapaswa kupendana!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Na, ujumbe mliousikia tangu mwanzo ndio huu: Tunapaswa kupendana!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Na, ujumbe mliousikia tangu mwanzo ndio huu: Tunapaswa kupendana!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Hili ndilo neno mlilolisikia tangu mwanzo: Kwamba imetupasa tupendane sisi kwa sisi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Hili ndilo neno mlilolisikia tangu mwanzo: Kwamba imetupasa tupendane sisi kwa sisi.

Tazama sura Nakili




1 Yohana 3:11
16 Marejeleo ya Msalaba  

akaondoka chakulani, akaweka kando mavazi yake, akatwaa kitambaa, akajifungia.


Amri yangu ndio hii, mpendane, kama nilivyowapenda ninyi.


Mchukuliane mizigo mkaitimize hivyo sharia ya Kristo.


mkaenende katika upendo, kama na Kristo alivyowapenda ninyi, akajitoa kwa ajili yetu, sadaka na dhabihu kwa Mungu, kuwa harufu nzuri.


Kwa khabari ya upendano, hamna haja niwaandikie: maana ninyi wenyewe mmefundishwa na Mungu kupendana.


Bali kusudi la mausia hayo ni upendo utokao katika moyo safi na dhamiri njema, na imani isiyo na unafiki:


Mkiisha kujisafisha roho zenu kwa kuitii kweli, kwa Roho, kiasi cha kuufikilia upendano usio na unafiki, bassi jitahidini kupendana kwa moyo;


Neno la mwisbo ni hili; mwe na nia moja, wahurumianao, wenye kupendana kama ndugu, wasikitikivu, wanyenyekevu;


zaidi ya yote mwe na juhudi nyingi katika kupendana; kwa sababu upendano husetiri wingi wa dhambi;


Na hii ndiyo khabari tuliyoisikia kwake, na kuikhubiri kwenu, ya kwamba Mungu ni nuru, wala giza yo yote hamna ndani yake.


Wapenzi, ikiwa Mungu alitupenda sisi hivi, imetupasa na sisi kupendana.


Na amri hii tumepewa nae, ya kwamba yeye ampendae Mungu, ampende na ndugu yake.


Wapenzi, tupendane: kwa kuwa pendo ni la Mungu, na killa apendae amezaliwa na Mungu, nae anamjua Mungu.


Na sasa, Bibi, nakuomba, si kwamba nakuandikia amri mpya, bali ile tuliyokuwa nayo tangu mwanzo, kwamba tupendane.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo