Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Yohana 2:9 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

9 Yeye asemae kwamba yumo katika nuru, nae amchukia ndugu yake, yumo gizani hatta sasa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Yeyote asemaye kwamba yumo katika mwanga, lakini anamchukia ndugu yake, mtu huyo bado yumo gizani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Yeyote asemaye kwamba yumo katika mwanga, lakini anamchukia ndugu yake, mtu huyo bado yumo gizani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Yeyote asemaye kwamba yumo katika mwanga, lakini anamchukia ndugu yake, mtu huyo bado yumo gizani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Yeyote anayesema yumo nuruni lakini anamchukia ndugu yake bado yuko gizani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Yeyote anayesema yumo nuruni lakini anamchukia ndugu yake bado yuko gizani.

Tazama sura Nakili




1 Yohana 2:9
14 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akawaambia, Kama mngekuwa vipofu, msingekuwa na dhambi; lakini sasa mwasema Twaona; bassi dhambi yenu inakaa.


Siku zile akasimama Petro kati ya wanafunzi, akasema (jumla ya majina ilipata mia na ishirini),


Maana yeye asiyekuwa na haya ni kipofu, hawezi kuona vitu vilivyo mbali, amesahau kule kutakaswa dhambi zake za zamani.


Tukisema twashirikiana nae, tena tukienenda gizani, twasema uwongo, wala hatuifanyi iliyo kweli;


Bali yeye amchukiae ndugu yake, yu katika giza, tena anakwenda katika giza, wala hajui aendako, kwa sababu giza imempofusha macho.


Yeye asemae, Nimemjua, nae hazishiki amri zake, ni mwongo, na kweli haimo ndani yake.


Hivi watoto wa Mungu ni dhahiri, na watoto wa Shetani. Mtu aliye yote asiyefanya haki hatokani na Mungu, wala yeye asiyempenda ndugu yake.


Mtu akisema, Nampenda Mungu, nae anamchukia ndugu yake, yu mwongo; kwa maana asiyempenda ndugu yake ambae amemwona, hawezi kumpenda Mungu ambae hakumwona.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo