Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Yohana 2:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

6 Yeye asemae ya kuwa anakaa ndani yake, imempasa kuenenda mwenyewe vilevile kama yeye alivyoenenda.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Mtu yeyote anayesema kwamba ameungana na Mungu, anapaswa kuishi kama alivyoishi Yesu Kristo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Mtu yeyote anayesema kwamba ameungana na Mungu, anapaswa kuishi kama alivyoishi Yesu Kristo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 mtu yeyote anayesema kwamba ameungana na Mungu, anapaswa kuishi kama alivyoishi Yesu Kristo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Yeyote anayesema anakaa ndani yake hana budi kuenenda kama Isa alivyoenenda.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Yeyote anayesema anakaa ndani yake hana budi kuenenda kama Isa alivyoenenda.

Tazama sura Nakili




1 Yohana 2:6
14 Marejeleo ya Msalaba  

Jitieni nira yangu, jifunzeni kwa mfano wangu; kwa kuwa mimi ni mpole na moyo wangu umenyenyekea: nanyi mtapata raha rohoni mwenu;


Kwa kuwa nimewapeni mfano illi hayo niliyowatendea ninyi, na ninyi mtende yayo hayo.


Mkizishika amri zangu, mtakaa katika pendo langu; kama mimi nilivyozishika amri za Baba yangu, na kukaa katika pendo lake.


MWE wafuasi wangu kama mimi nilivyo mfuasi wa Kristo.


mkaenende katika upendo, kama na Kristo alivyowapenda ninyi, akajitoa kwa ajili yetu, sadaka na dhabihu kwa Mungu, kuwa harufu nzuri.


Kwa sababu ndio mlioitiwa: maana Kristo nae aliteswa kwa ajili yenu, akiwaachieni mfano, mfuate nyayo zake;


Na sasa, watoto wadogo, kaeni ndani yake, illi, atakapofunuliwa, tuwe na ujasiri, wala tusiaibishwe mbele zake katika kuja kwake.


Yeye asemae, Nimemjua, nae hazishiki amri zake, ni mwongo, na kweli haimo ndani yake.


Nae azishikae amri zake hukaa ndani yake, nae ndani yake. Na hivi tunajua ya kuwa anakaa ndani yetu, kwa Roho aliyotupa.


Killa akaae ndani yake batendi dhambi; killa atendae dhambi bakumwona, wala hakumtambua.


Hivi pendo limekamilishwa kwetu, tuwe na ujasiri katika siku ya hukumu; kwa kuwa, kama yeye alivyo, ndivyo tulivyo na sisi ulimwenguni humu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo