Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Yohana 2:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

4 Yeye asemae, Nimemjua, nae hazishiki amri zake, ni mwongo, na kweli haimo ndani yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Mtu akisema kwamba anamjua, lakini hazitii amri zake, basi mtu huyo ni mwongo, na ukweli haumo ndani yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Mtu akisema kwamba anamjua, lakini hazitii amri zake, basi mtu huyo ni mwongo, na ukweli haumo ndani yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Mtu akisema kwamba anamjua, lakini hazitii amri zake, basi mtu huyo ni mwongo, na ukweli haumo ndani yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Mtu yeyote asemaye kuwa, “Ninamjua,” lakini hazishiki amri zake, ni mwongo, wala ndani ya mtu huyo hamna kweli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Mtu yeyote asemaye kuwa, “Ninamjua,” lakini hazishiki amri zake, ni mwongo, wala ndani ya mtu huyo hamna kweli.

Tazama sura Nakili




1 Yohana 2:4
13 Marejeleo ya Msalaba  

Ninyi wa baba yenu Shetani, na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzifanya. Yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo, wala hakusimama katika kweli kwa kuwa kweli hamna ndani yake. Asemapo uwongo, husema yaliyo yake mwenyewe, kwa sababu yu mwongo, na baba ya huo.


Maana wako wengi wasiotii, wenye maneno yasiyo maana, wadanganyaji, khassa wale waliotahiriwa,


Wanakiri kwamha wanamjua Mungu, bali kwa matendo yao wanamkana, ni wenye machukizo, maasi, na kwa killa tendo jema hawafai.


Tukisema hatukutenda dhambi, twamfanya mwongo wala neno lake halimo mwetu.


Tukisema twashirikiana nae, tena tukienenda gizani, twasema uwongo, wala hatuifanyi iliyo kweli;


Tukisema hatuna dhambi, twajidanganya, wala kweli haimo mwetu.


Na hivi twajua ya kuwa tumemjua, ikiwa tunashika amri zake.


Yeye asemae kwamba yumo katika nuru, nae amchukia ndugu yake, yumo gizani hatta sasa.


Killa akaae ndani yake batendi dhambi; killa atendae dhambi bakumwona, wala hakumtambua.


Mtu akisema, Nampenda Mungu, nae anamchukia ndugu yake, yu mwongo; kwa maana asiyempenda ndugu yake ambae amemwona, hawezi kumpenda Mungu ambae hakumwona.


Wapenzi, tupendane: kwa kuwa pendo ni la Mungu, na killa apendae amezaliwa na Mungu, nae anamjua Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo