Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Yohana 2:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

3 Na hivi twajua ya kuwa tumemjua, ikiwa tunashika amri zake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Tukizitii amri za Mungu, basi, tunaweza kuwa na hakika kwamba tunamjua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Tukizitii amri za Mungu, basi, tunaweza kuwa na hakika kwamba tunamjua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Tukizitii amri za Mungu, basi, tunaweza kuwa na hakika kwamba tunamjua.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Basi katika hili twajua ya kuwa tumemjua, tukizishika amri zake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Basi katika hili twajua ya kuwa tumemjua, tukizishika amri zake.

Tazama sura Nakili




1 Yohana 2:3
26 Marejeleo ya Msalaba  

Ya nini kuniita Bwana, Bwana, nanyi hamyatendi niyanenayo?


Mkinipenda mtazishika amri zangu.


Mkizishika amri zangu, mtakaa katika pendo langu; kama mimi nilivyozishika amri za Baba yangu, na kukaa katika pendo lake.


Ninyi m rafiki zangu, mkitenda niwaamuruyo.


Na uzima wa milele ni huu, wakujue wewe, Mungu wa peke yake, wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.


Kwa kuwa Mungu, aliyesema, Nuru itangʼaa toka gizani, ndive aliyengʼaa mioyoni mwetu, atupe nuru va elimu ya utukufu wa Mungu katika uso wa Yesu Kristo.


nae alipokwisha kukamilishwa, akawa sababu ya wokofu wa milele kwa watu wote wanaomtii;


Nawaandikia, akina baba, kwa sababu mmemjua yeye aliye tangu mwanzo. Nawaandikia ninyi vijana, kwa sababu mmemshinda yule mwovu. Nawaandikia ninyi, watoto, kwa sababu mmemjua Baba.


Sisi tunajua ya kuwa tumepita toka mauti hatta uzima, kwa maana twawapenda ndugu. Asiyependa, akaa katika mauti.


Hivi tutafahamu ya kwamba tu wa kweli, na mbele zake tutatuliza mioyo yetu


Killa akaae ndani yake batendi dhambi; killa atendae dhambi bakumwona, wala hakumtambua.


Hivi tunafahamu ya kuwa tunakaa ndaui yake, nae ndani yetu, kwa kuwa ametushirikisha Roho yake.


Wapenzi, tupendane: kwa kuwa pendo ni la Mungu, na killa apendae amezaliwa na Mungu, nae anamjua Mungu.


Twajua ya kuwa sisi tu wa Mungu; na dunia yote pia hukaa katika yule mwovu.


Hivi twajua kwamba twawapencla watoto wa Mungu, tumpendapo Mungu, na kuzishika amri zake.


Kwa maana huku ndiko kumpenda Mungu, kuzisinka amri zake: na amri zake si nzito.


Joka akamkasirikia mwanamke akaenda zake afanye vita juu ya wazao wake waliosalia, wazishikao amri za Mungu, na kuwa na ushuhuda wa Yesu Kristo.


Hapo ndipo penye uvumilivu wa watakatifu wazishikao amri za Mungu, na imani ya Yesu.


Wa kheri wazifuazo nguo zao, wawe na amri kuuendea mti wa uzima, na kuuingia mji kwa milango yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo