Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Yohana 2:26 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

26 Nimewaandikia haya katika khabari za watu wale wanaotaka kuwapoteza.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Nimewaandikieni mambo haya kuhusu wale wanaotaka kuwapotosha nyinyi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Nimewaandikieni mambo haya kuhusu wale wanaotaka kuwapotosha nyinyi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Nimewaandikieni mambo haya kuhusu wale wanaotaka kuwapotosha nyinyi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Nawaandikia mambo haya kuhusu wale watu ambao wanajaribu kuwapotosha.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Nawaandikia mambo haya kuhusu wale watu ambao wanajaribu kuwapotosha.

Tazama sura Nakili




1 Yohana 2:26
12 Marejeleo ya Msalaba  

kwa maana wataondoka Makristo wa nwongo, na manabii wa uwongo, watatoa ishara na ajabu, wapate kuwadanganya, kama yumkini, hatta wale wateule.


Mtu asiwanyangʼanye thawabu yenu, akijinyenyekea kwa mapenzi yake mwenyewe tu, na kwa kuwaabudu malaika, akijishughulisha na asiyoyaona, akijivuna burre, kwa akili ya mwili wake,


Angalieni intu asiwateke kwa filosofia yake na madanganya matupu, kwa jinsi ya mapokeo ya wana Adamu, kwa jinsi ya mafundisho ya awali ya ulimwengu, wala si kwa jinsi ya Kristo.


ROHO yanena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho watu watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani,


Lakini watu wabaya na wadanganyaji wataendelea na kuzidi kuwa waovu, wakidanganya na wakidanganyika.


Wanangu, mtu asikudanganyeni; afanyae haki yuna haki, kama yeye alivyo na haki;


Kwa maana wadanganyifu wengi wameingia katika dunia, wasio-ungama ya kuwa Yesu Kristo yuaja katika mwili. Huyo ndiye yule mdanganyifu na adui wa Kristo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo