Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Yohana 1:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

4 Na haya twawaandikieni, illi furaha yenu itimizwe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Tunawaandikia nyinyi mambo haya kusudi furaha yetu ikamilike.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Tunawaandikia nyinyi mambo haya kusudi furaha yetu ikamilike.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Tunawaandikia nyinyi mambo haya kusudi furaha yetu ikamilike.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Tunaandika mambo haya ili furaha yetu ipate kuwa timilifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Tunaandika mambo haya ili furaha yetu ipate kuwa timilifu.

Tazama sura Nakili




1 Yohana 1:4
10 Marejeleo ya Msalaba  

Haya nimewaambieni, illi furaha yangu iwe ndani yenu, na furaha yenu itimizwe.


Mpaka leo hamkuomba neno kwa jina langu; ombeni, na mtapata, furaha yenu iwe timilifu.


Aliye nae bibi arusi ndiye bwana arusi; lakini rafiki yake bwana arusi anaesimama na kumsikia, aifurahia sana sauti yake bwana arusi: bassi hii furaha yangu imetimia.


Si kwamba tunatawala imani yenu; hali tu wasaidizi wa furaha yenu; maana mnasimama kwa imani.


na kimjua upendo wake Kristo, ambao hauwezi kufahamiwa vema kwa jinsi ulivyo mwingi, mpate kutimilika kwa utimilifu wote wa Mungu.


WATOTO wangu wadogo, nawaandikia haya illi msitende dhambi. Na ijapo mtu akatenda dhambi tuna Mwombezi kwa Baba, Yesu Kristo mwenye haki,


Kwa kuwa nina maneno mengi ya kuwa-andikia, sitaki kuyaandika kwa karatasi na wino; lakini nataraja kuja kwenu, na kusema nanyi mdo-mo kwa mdomo, illi furaha yenu itimizwe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo