Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Yohana 1:10 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

10 Tukisema hatukutenda dhambi, twamfanya mwongo wala neno lake halimo mwetu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Tukisema kwamba hatujatenda dhambi, tutakuwa tumemfanya Mungu mwongo, na neno lake halimo ndani yetu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Tukisema kwamba hatujatenda dhambi, tutakuwa tumemfanya Mungu mwongo, na neno lake halimo ndani yetu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Tukisema kwamba hatujatenda dhambi, tutakuwa tumemfanya Mungu mwongo, na neno lake halimo ndani yetu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Tukisema hatujatenda dhambi, twamfanya yeye kuwa mwongo na neno lake halimo ndani yetu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Kama tukisema hatukutenda dhambi, twamfanya yeye kuwa mwongo na neno lake halimo ndani yetu.

Tazama sura Nakili




1 Yohana 1:10
12 Marejeleo ya Msalaba  

Aliyeukubali ushuhuda wake ametia muhuri yake kwamba Mungu ni kweli.


Neno la Kristo likae kwa wingi ndani yenu katika hekima yote, mkifundishana na kuonyana kwa zaburi, na nyimbo, na tenzi za rohoni; kwa neema mkimwimbia Bwana mioyoni mwenu.


Tukisema hatuna dhambi, twajidanganya, wala kweli haimo mwetu.


Nimewaandikia ninyi, akina baba, kwa sababu mmemjua yeye aliye tangu mwanzo. Nimewaandikia ninyi, vijana, kwa sababu m hodari, na neno la Mungu linakaa ndani yenu, na mmemshinda yule mwovu.


Yeye asemae, Nimemjua, nae hazishiki amri zake, ni mwongo, na kweli haimo ndani yake.


Ninyi, watoto wangu, mwatokana na Mungu: nanyi mmewashinda, kwa sababu yeye aliye ndani yenu ni mkuu kuliko yeye aliye katika dunia.


Amwaminiye Mwana wa Mungu anao ushuhuda ndani yake. Asiyemwamini Mungu amemfanya kuwa mwongo, kwa kuwa hakuuamini ushuhuda ambao Mungu amemsbuhudia Mwana wake.


kwa ajili ya ile kweli ikaayo ndani yetu, nayo itakuwa pamoja nasi hatta milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo