1 Wathesalonike 5:9 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19219 Kwa kuwa Mungu hakutuweka kwa hasira vake bali tupate wokofu, kwa Bwana wetu Yesu Kristo, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Maana Mungu hakututeua ili tuangamizwe na ghadhabu yake, bali tuupate wokovu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Maana Mungu hakututeua ili tuangamizwe na ghadhabu yake, bali tuupate wokovu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Maana Mungu hakututeua ili tuangamizwe na ghadhabu yake, bali tuupate wokovu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Kwa maana Mungu hakutuita ili tupate ghadhabu bali tupate wokovu kupitia kwa Bwana wetu Isa Al-Masihi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Kwa maana Mwenyezi Mungu hakutuita ili tupate ghadhabu bali tupate wokovu kwa njia ya Bwana wetu Isa Al-Masihi. Tazama sura |