Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wathesalonike 5:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

6 Bassi tusilale kama wengine, bali tukeshe, na kuwa na kiasi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Basi, tusilale usingizi kama wengine; tunapaswa kukesha na kuwa na kiasi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Basi, tusilale usingizi kama wengine; tunapaswa kukesha na kuwa na kiasi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Basi, tusilale usingizi kama wengine; tunapaswa kukesha na kuwa na kiasi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Kwa hiyo basi, tusilale kama watu wengine wanavyolala, bali tukeshe na kuwa na kiasi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Kwa hiyo basi, tusilale kama watu wengine walalavyo, bali tukeshe na kuwa na kiasi.

Tazama sura Nakili




1 Wathesalonike 5:6
40 Marejeleo ya Msalaba  

lakini watu walipolala, akaja adui yake akapanda magugu katikati ya nganu, akaenda zake.


Kesheni bassi: kwa maana hamwijui saa atakayokuja Bwana wenu.


Bassi kesheni, maana hamwijui siku wala saa ajapo Mwana wa Adamu.


Hatta bwana arusi alipokawia, wote wakasinzia wakalala.


Ndipo akawaambia, Roho yangu ina huzuni nyingi kiasi cha kufa; kaeni hapa, mkakeshe pamoja nami.


Na hilo niwaambialo ninyi, nawaambia Wote, Kesheni.


Wa kheri watumishi wale ambao bwana wao ajapo atawakuta wanakesba. Amin, nawaambieni, atajifunga, atawaketisha, atakuja kuwakhudumia.


Lakini jueni haya ya kuwa mwenye nyumba angaliijua saa atakayokuja mwizi, angalikesha asiache nyumba yake kuvunjwa.


Kwa hiyo kesheni killa wakati, mkiomba mpate kuhesabiwa kuwa mmestahili kuponea haya yote yatakayokuwa, na kusimama mahali penu mbele ya Mwana wa Adamu.


Mbona mnielala? Ondokeni, mkaombe, msipate kuingia majaribuni.


Kwa biyo kesheni, mkikumbuka kama miaka mitatu, usiku na mchana, sikuacha kumwonya killa mtu kwa machozi.


Erevukeui kama ipasavyo, wala insiteude dhambi; kwa maana wengine hawamfahamu Mungu. Ninasema haya niwafedheheshe.


Kesheni, simameni imara katika Imani, mwe waume, mwe hodari.


ambazo sisi nasi sote tuliziendea, hapo zamani, katika tamaa za mwili wetu, tukiyatimiza mapenzi ya mwili wetu na ya nia zetu, tukawa kwa tabia yetu watoto wa ghadhabu kama na hao wengine.


Kwa biyo anena, Amka, wewe usinziae, kafufuka, na Kristo atakuangaza.


kwa sala zote na kuomha mkisali killa wakati katika Roho, mkikesha kwa jambo hilo, mkifanya juhudi sana, na kuwaombea watakatifu wote,


Upole wenu ujulikane na watu wote. Bwana yu karibu.


Dumuni sana katika kuomba, mkikesha katika kuomba huku na shukrani,


Lakini, ndugu, hatutaki msijue khabari zao waliolala, msije mkahuzunika kama na wengine wasio na matumaini.


aliyekufa kwa ajili vetu, illi tuishi pamoja nae, ikiwa twakesha au ikiwa twalala.


Lakini sisi tulio wa mchana, tuwe na kiasi, tukijivika kifuani imani na upendo, na chepeo yetu iwe tumaini la wokofu.


Lakini ataokolewa, kwa ule uzazi, kama wakidumu katika imani na npendo na utakatifu pamoja na moyo wa kiasi.


Na vivyo hivyo wanawake wajipambe kwa mavazi ya kujisetiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi, si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani;


Vivi hivi wanawake wawe watu wa utaratibu, si wasingiziaji, watu wa kiasi, waaminifu katika mambo yote.


Bassi imempasa askofu kuwa mtu asiyelaumiwa, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkaribishaji, mfundishaji;


Bali wewe erevuka katika yote, vumilia mabaya, fanya kazi ya mwinjilisti, timiliza khuduma yako.


yatufundisha kukataa ubaya na tamaa za kidunia, ua kuishi kwa kiasi, na haki, na utawa, katika ulimwengu wa sasa,


Na vijana vivyo hivyo nwaonye kuwa na kiasi;


Kwa hiyo vifungeni viuno vya nia zenu, mwe na kiasi, kwa utimilifu mkiitumainia ile neema mtakayoletewa katika ufunuo wake Yesu Kristo.


Mwisho wa mamho yote umekaribia; bassi, mwe na akili, mkakeshe katika sala:


Erevukeni, kesheni; kwa kuwa mshitaki wenu Shetani, kama simba angurumae, huzungukazunguka, akitafuta mtu amle;


Tazama, naja kama mwizi. Yu kheri akeshae, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi wakaone aibu yake.


Uwe mwenye kukesha, ukayaimarishe manibo yaliyosalia, yaliyo tayari kufa. Maana sikuona matendo yako kuwa yametimilika mbele za Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo