Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wathesalonike 5:20 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

20 msitweze unabii;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 msidharau unabii.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 msidharau unabii.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 msidharau unabii.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Msiyadharau maneno ya unabii.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 msiyadharau maneno ya unabii.

Tazama sura Nakili




1 Wathesalonike 5:20
20 Marejeleo ya Msalaba  

NA huko Antiokia katika kanisa lililokuwako palikuwa na manabii na waalimu, Barnaba na Sumeon aitwae Niger, na Lukio Mkurene, na Manaen aliyekuwa ndugu wa kunyonya wa Herode mfalme, na Saul.


Na Paolo, alipokwisba kuweka mikono yake juu yao, Roho Mtakatifu akaja juu yao wakaanza kunena kwa lugha, na kutabiri.


Killa mwanamume, asalipo, au atoapo unabii, nae ana kitu kichwani, yuaibisha kichwa chake.


na mwingine kutenda kazi za miujiza; na mwingine unabii; na mwingine kupambanua roho; mwingine aina za lugha; na mwingine tafsiri za lugha;


Na Mungu ameweka wengine katika Kanisa, wa kwanza mitume, wa pili manabii, wa tatu waalimu, kiisha miujiza, kiisha karama za kuponya wagonjwa, na masaidiano, na kutawala, na aina za lugha.


Tena nijapokuwa na unabii, na kujua siri zote na maarifa yote, nijapokuwa na imani timilifu kiasi cha kuweza kuhamisha milima, kama simi upendo, si kitu mimi.


Kwa maana tunafahamu kwa sehemu; na tunafanya unabii kwa sehemu;


UFUATIENI upendo, katakeni sana karama za rohoni, lakini zaidi mpate kukhutubu.


Bassi yeye anaekataa, hakatai mwana Adamu bali Mungu, anaewapeni Roho yake Mtakatifu.


WAPENZI, msiamini kiila rolio, bali zijaribuni roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uwongo wengi wametokea duniani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo