Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wathesalonike 5:2 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

2 Maana ninyi wenyewe mnajua yakini ya kuwa siku ya Bwana yaja kama vile mwizi ajavyo usiku.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Maana nyinyi wenyewe mwajua kwamba siku ya Bwana itakuja kama mwizi ajavyo usiku.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Maana nyinyi wenyewe mwajua kwamba siku ya Bwana itakuja kama mwizi ajavyo usiku.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Maana nyinyi wenyewe mwajua kwamba siku ya Bwana itakuja kama mwizi ajavyo usiku.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 kwa kuwa mnajua vyema kwamba siku ya Mwenyezi Mungu itakuja kama mwizi anavyokuja usiku.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 kwa kuwa mnajua vyema kwamba siku ya Bwana Mwenyezi itakuja kama mwizi ajapo usiku.

Tazama sura Nakili




1 Wathesalonike 5:2
13 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi kesheni, maana hamwijui siku wala saa ajapo Mwana wa Adamu.


Bassi, jiangalieni, mioyo yenu isije ikalemewa na ulafi na ulevi, na masumbufu ya maisha haya,


na yeye atawathubutisheni hatta mwisho, msilaumiwe siku ile ya Bwana wetu Yesu Kristo.


Bali ninyi, ndugu, hamwi katika giza, siku ile iwapale kama mwizi.


msifadhaishwe upesi na kuaeha nia yenu, wala msistushwe, kwa roho wala kwa neno, wala kwa waraka unaodhaniwa kuwa ni wetu, ya kwamba siku ya Bwana imekwisha kuwapo.


Maana siku ya Bwana itakuja kama mwizi usiku; katika siku biyo mbingu zitatoweka kwa mshindo mkuu, na viumbe vya asili vitaunguzwa, na kufumuliwa, na inchi na kazi zilizomo ndani yake zitateketea.


Tazama, naja kama mwizi. Yu kheri akeshae, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi wakaone aibu yake.


Bassi kumbuka jinsi ulivyopokea, na jinsi ulivyosikia; yashike hayo na kutubu. Illakini usipokesha nitakuja kwako kama mwizi, nawe hutaijua saa nitakayokuja kwako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo