1 Wathesalonike 5:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192118 shukuruni kwa killa jambo; maana haya ni mapenzi ya Mungu kwenu katika Kristo Yesu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 na kuwa na shukrani katika kila hali. Hayo ndiyo anayotaka Mungu kwenu katika kuungana kwenu na Kristo Yesu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 na kuwa na shukrani katika kila hali. Hayo ndiyo anayotaka Mungu kwenu katika kuungana kwenu na Kristo Yesu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 na kuwa na shukrani katika kila hali. Hayo ndiyo anayotaka Mungu kwenu katika kuungana kwenu na Kristo Yesu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 shukuruni kwa kila jambo, kwa maana haya ndio mapenzi ya Mungu kwa ajili yenu katika Al-Masihi Isa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 shukuruni kwa kila jambo, kwa maana haya ndiyo mapenzi ya Mwenyezi Mungu kwa ajili yenu katika Al-Masihi Isa. Tazama sura |