1 Wathesalonike 5:1 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19211 LAKINI kwa khabari ya nyakati na majira, ndugu, hamna haja niwaandikie. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Ndugu, hakuna haja ya kuwaandikieni juu ya nyakati na majira ya mambo haya yatakapotukia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Ndugu, hakuna haja ya kuwaandikieni juu ya nyakati na majira ya mambo haya yatakapotukia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Ndugu, hakuna haja ya kuwaandikieni juu ya nyakati na majira ya mambo haya yatakapotukia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Basi ndugu, hatuna haja ya kuwaandikia kuhusu nyakati na majira, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Basi, ndugu, kwa habari ya nyakati na majira hatuna haja ya kuwaandikia, Tazama sura |