1 Wathesalonike 4:9 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19219 Kwa khabari ya upendano, hamna haja niwaandikie: maana ninyi wenyewe mmefundishwa na Mungu kupendana. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Hakuna haja ya kuwaandikieni juu ya kuwapenda ndugu zenu waumini. Nyinyi wenyewe mmefundishwa na Mungu namna mnavyopaswa kupendana. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Hakuna haja ya kuwaandikieni juu ya kuwapenda ndugu zenu waumini. Nyinyi wenyewe mmefundishwa na Mungu namna mnavyopaswa kupendana. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Hakuna haja ya kuwaandikieni juu ya kuwapenda ndugu zenu waumini. Nyinyi wenyewe mmefundishwa na Mungu namna mnavyopaswa kupendana. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Sasa kuhusu upendo wa ndugu hamna haja mtu yeyote kuwaandikia, kwa maana ninyi wenyewe mmefundishwa na Mungu kupendana. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Sasa kuhusu upendo wa ndugu hamna haja mtu yeyote kuwaandikia, kwa maana ninyi wenyewe mmefundishwa na Mwenyezi Mungu kupendana. Tazama sura |