1 Wathesalonike 4:7 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19217 Maana Mungu hakutuitia uchafu, bali tuwe katika utakaso. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Mungu hakutuita tuishi maisha ya zinaa, bali tuishi katika utakatifu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Mungu hakutuita tuishi maisha ya zinaa, bali tuishi katika utakatifu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Mungu hakutuita tuishi maisha ya zinaa, bali tuishi katika utakatifu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Kwa maana Mungu hakutuitia uchafu, bali utakatifu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Kwa maana Mungu hakutuitia uchafu, bali utakatifu. Tazama sura |