Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wathesalonike 4:7 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

7 Maana Mungu hakutuitia uchafu, bali tuwe katika utakaso.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Mungu hakutuita tuishi maisha ya zinaa, bali tuishi katika utakatifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Mungu hakutuita tuishi maisha ya zinaa, bali tuishi katika utakatifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Mungu hakutuita tuishi maisha ya zinaa, bali tuishi katika utakatifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Kwa maana Mungu hakutuitia uchafu, bali utakatifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Kwa maana Mungu hakutuitia uchafu, bali utakatifu.

Tazama sura Nakili




1 Wathesalonike 4:7
18 Marejeleo ya Msalaba  

kwa wote walioko Rumi, wapendwao na Mungu, walioitwa kuwa watakatifu: Neema iwe kwenu na imani itokayo kwa Mungu Baba yetu, na kwa Bwaua Yesu Kristo.


kwa kanisa la Mungu lililo katika Korintho, lililotakaswa katika Kristo Yesu, walioitwa wawe watakatifu pamoja na wote wanaoliitia jina la Bwana wetu Yesu Kristo killa mahali, Bwana wao na wetu:


Na matendo ya mwili ni dhahiri, ndiyo haya, uasharati, uchafu, ufasiki,


kama alivyotuchagua katika yeye kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu, tuwe watakatifu, wasio khatiya mbele zake, katika pendo.


Maana tu kazi yake, tuliumbwa katika Kristo Yesu, tutende matendo mema, ambayo Mungu aliyatengeneza tokea awali illi tuenende nayo.


BASSI nawasihini, mimi niliye mfungwa katika Bwana, mwenende kama inavyoustahili wito wenu mlioitiwa,


watu waliopooza kabisa, wamejitia katika mambo ya ufasiki, wapate kufanyiza killa namna ya uchafu kwa kutamani.


Kwa maana maonyo yetu siyo ya ukosefu wala ya uchafu, wala ya hila,


aliyetuokoa akatuita kwa wito mtakatifu, si kwa kadiri ya matendo yetu, bali kwa kadiri ya makusudi yake mwenyewe na neema yake, tuliyopewa sisi katika Kristo Yesu, kabla ya nyakati za zamani;


Fanyeni bidii kutafuta amani kwa watu wote, na utakatifu, ambao hapana mtu atakaemwona Mungu asipokuwa nao;


na khassa wale waufuatao mwili katika tamaa ya mambo machafu, na kudharau mamlaka. Wenye ushupavu, wenye kujikinai, hawatetemeki wakiyatukana matukufu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo