Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wathesalonike 4:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

18 Bassi, farijianeni kwa maneno haya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Basi, farijianeni kwa maneno haya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Basi, farijianeni kwa maneno haya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Basi, farijianeni kwa maneno haya.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Kwa hiyo farijianeni kwa maneno haya.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Kwa hiyo farijianeni kwa maneno haya.

Tazama sura Nakili




1 Wathesalonike 4:18
9 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi hayo yaanzapo kuwa, tazameni juu, mkainue vichwa vyenu kwa kuwa ukombozi wenu unakaribia.


baada va haya sisi tulio hayi, tuliosalia, tutachukuliwa pamoja nao katika mawingu, illi tumlaki Bwana hewani; na hivyo tutakuwa pamoja na Bwana milele.


LAKINI kwa khabari ya nyakati na majira, ndugu, hamna haja niwaandikie.


Bassi, farijianeni mkajengeane, killa mtu mwenzake, vile vile kama mnavyofanya.


Twawasihi, ndugu, waonyeni wale wasiokaa kwa taratihu, watieni moyo walio dhaifu, watieni nguvu wanyonge, vumilieni na watu wote.


Kwa hiyo inyosheni mikono iliyolegea na magoti yaliyopooza,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo