1 Wathesalonike 4:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192114 Maana, ikiwa twaamini ya kwamba Yesu alikufa akafufuka, vivyo hivyo na hao waliolala katika Yesu Mungu atawaleta pamoja nae. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Sisi tunaamini kwamba Yesu alikufa, akafufuka; na hivyo sisi tunaamini kwamba Mungu atawaleta pamoja na Yesu wale wote waliofariki wakiwa wanamwamini. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Sisi tunaamini kwamba Yesu alikufa, akafufuka; na hivyo sisi tunaamini kwamba Mungu atawaleta pamoja na Yesu wale wote waliofariki wakiwa wanamwamini. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Sisi tunaamini kwamba Yesu alikufa, akafufuka; na hivyo sisi tunaamini kwamba Mungu atawaleta pamoja na Yesu wale wote waliofariki wakiwa wanamwamini. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Tunaamini kwamba Isa alikufa na kufufuka. Na kwa hivyo, tunaamini kwamba Mungu atawaleta pamoja naye wale waliolala katika Isa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Kwa kuwa tunaamini kwamba Isa alikufa na kufufuka, na kwa hivyo, Mwenyezi Mungu kwa njia ya Isa atawafufua pamoja naye wale waliolala mautini ndani yake. Tazama sura |