1 Wathesalonike 3:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19214 Kwa maana tulipokuwa kwenu tulitangulia kuwaambieni kwamba tutapata kuteswa, kama ilivyotukia, nanyi mwajua. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Maana, tulipokuwa pamoja nanyi, tuliwaambieni kwamba tutateswa; na kama mjuavyo, ndivyo ilivyotukia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Maana, tulipokuwa pamoja nanyi, tuliwaambieni kwamba tutateswa; na kama mjuavyo, ndivyo ilivyotukia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Maana, tulipokuwa pamoja nanyi, tuliwaambieni kwamba tutateswa; na kama mjuavyo, ndivyo ilivyotukia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Kwa kweli, tulipokuwa pamoja nanyi tuliwaambia mara kwa mara kwamba tutateswa na imekuwa hivyo kama mnavyojua. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Kwa kweli, tulipokuwa pamoja nanyi tuliwaambia mara kwa mara kwamba tutateswa na imekuwa hivyo kama mjuavyo. Tazama sura |