Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wathesalonike 2:7 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

7 bali tulikuwa wapole kati yenu, kama vile mlezi awatunzavyo watoto wake mwenyewe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 ingawa sisi tukiwa mitume wa Kristo, tungeweza kudai mambo fulani kwenu. Lakini sisi tulikuwa wapole kati yenu kama alivyo mama kwa watoto wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 ingawa sisi tukiwa mitume wa Kristo, tungeweza kudai mambo fulani kwenu. Lakini sisi tulikuwa wapole kati yenu kama alivyo mama kwa watoto wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 ingawa sisi tukiwa mitume wa Kristo, tungeweza kudai mambo fulani kwenu. Lakini sisi tulikuwa wapole kati yenu kama alivyo mama kwa watoto wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Lakini tulikuwa wapole kati yenu, kama vile mama anawatunza watoto wake wadogo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 lakini tulikuwa wapole katikati yenu, kama mama anayewatunza watoto wake wadogo.

Tazama sura Nakili




1 Wathesalonike 2:7
18 Marejeleo ya Msalaba  

Na panapo muda wa miaka arubaini akawaruzuku katika jangwa.


Nami nalikuwako kwenu katika hali ya udhaifu na khofu na matetemeko mengi.


Kwa wanyonge nalikuwa mnyonge, illi niwapate wanyonge. Nalikuwa mtu wa hali zote kwa watu wote, illi nipate kuwaokoa watu kwa njia zote.


NAMI Paolo, nawasihi kwa upole na utaratibu wa Kristo, mimi niliye mnyenyekevu niwapo pamoja nanyi, bali nisipokuwapo mwenye ujasiri kwenu;


Maana, ijapokuwa alisulibiwa katika udhaifu, illakini anaishi kwa nguvu za Mungu. Maana sisi nasi tu dhaifu katika yeye; bali tutaishi pamoja nae kwa uweza wa Mungu ulio ndani yenu.


Vitoto vyangu, ambao nawaonea utungu tena mpaka Kristo aumbike ndani yenu.


vile vile kama mjuavyo jinsi tulivyomwonya killa mmoja wemi kama baba amwonavyo mtoto wake, tukiwatieni moyo na kushuhudia,


Lakini hekima itokayo juu, kwanza ni safi, tena ni ya amani, ya upole,, tayari kusikiliza maneno ya watu, imejaa rehema na matunda mema, haina fitina wala unafiki;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo