1 Wathesalonike 2:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19216 Hatukutaka kusifiwa na watia Adamu, wala na ninyi, wala na wengine, tulipokuwa tuliweza kuwalemea kama mitume wa Kristo; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Hatukutafuta sifa kutoka kwa watu, wala kutoka kwenu, wala kutoka kwa mtu yeyote, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Hatukutafuta sifa kutoka kwa watu, wala kutoka kwenu, wala kutoka kwa mtu yeyote, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Hatukutafuta sifa kutoka kwa watu, wala kutoka kwenu, wala kutoka kwa mtu yeyote, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Hatukuwa tukitafuta sifa kutoka kwa wanadamu, wala kutoka kwenu au kwa mtu mwingine yeyote, ingawa kama mitume wa Al-Masihi tungeweza kuwa mzigo kwenu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Wala hatukuwa tunatafuta sifa kutoka kwa wanadamu, wala kutoka kwenu au kwa mtu mwingine awaye yote. Kama mitume wa Al-Masihi tungaliweza kuwa mzigo kwenu, Tazama sura |