1 Wathesalonike 2:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19213 Kwa maana maonyo yetu siyo ya ukosefu wala ya uchafu, wala ya hila, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Jambo tunalosisitiza kwenu si jambo linalotegemea uongo au nia mbaya; wala hatupendi kumdanganya mtu yeyote. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Jambo tunalosisitiza kwenu si jambo linalotegemea uongo au nia mbaya; wala hatupendi kumdanganya mtu yeyote. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Jambo tunalosisitiza kwenu si jambo linalotegemea uongo au nia mbaya; wala hatupendi kumdanganya mtu yeyote. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Kwa maana himizo letu halikutokana na hila wala nia mbaya au udanganyifu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Kwa maana himizo letu halikutokana na hila wala nia mbaya au udanganyifu. Tazama sura |