1 Wathesalonike 2:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192112 illi mwenende kama ilivyo wajib wenu kwa Mungu mwenende, awaitae muingie katika ufalme wake na utukufu wake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 ili mpate kuishi maisha yampendezayo Mungu ambaye anawaiteni mshiriki ufalme na utukufu wake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 ili mpate kuishi maisha yampendezayo Mungu ambaye anawaiteni mshiriki ufalme na utukufu wake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 ili mpate kuishi maisha yampendezayo Mungu ambaye anawaiteni mshiriki ufalme na utukufu wake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Tuliwatia moyo, tukiwafariji na kuwahimiza kuishi maisha yanayompendeza Mungu, anayewaita katika ufalme wake na utukufu wake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Tuliwatia moyo, tuliwafariji na kuwahimiza kuishi maisha yampendezayo Mungu, anayewaita katika Ufalme na utukufu wake. Tazama sura |