Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wathesalonike 2:1 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

1 MAANA ninyi wenyewe, udugu, mwakujua kuingia kwetu kwenu, ya kwamba hakukuwa burre,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Ndugu, nyinyi wenyewe mnafahamu kwamba ziara yetu kwenu haikuwa bure.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Ndugu, nyinyi wenyewe mnafahamu kwamba ziara yetu kwenu haikuwa bure.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Ndugu, nyinyi wenyewe mnafahamu kwamba ziara yetu kwenu haikuwa bure.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Ndugu zangu, kwa kuwa ninyi wenyewe mnajua kwamba kuja kwetu kwenu hakukuwa bure,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Ndugu zangu, kwa kuwa ninyi wenyewe mnajua ya kwamba kuja kwetu kwenu hakukuwa bure,

Tazama sura Nakili




1 Wathesalonike 2:1
18 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini kwa neema ya Mungu nimekuwa nilivyo; na neema yake iliyo kwangu ilikuwa si burre, bali nalizidi sana kushika kazi kupita wao wote; wala si mimi, bali neema ya Mungu pamoja nami.


na kwa hiyo mnaokolewa, ikiwa mnayashika sana maneno niliyowakhuhirieni; isipokuwa mliamini burre.


Bassi, ndugu wapendwa, mwe imara, msiotikisika, mkizidi sana kutenda kazi ya Bwana siku zote, kwa kuwa taabu yenu siyo burre katika Bwana.


NASI tukitenda kazi pamoja nae tunakusihini msiipokee neema ya Mungu burre,


Nami nalikwenda kwa kufunuliwa, nikawaeleza injili ile niikhubirivyo katika mataifa, lakini kwa faraglia kwa hao walio wenye sifa, isiwe labda napiga mbio burre au nalipiga mbio burre.


Nawachelea, isiwe labda nimejitaabisha burre kwenu.


nipate sababu ya kujisifu katika siku ya Kristo, ya kuwa sikupiga mbio burre wala sikujitaabisha burre.


Kwa sababu hiyo sisi nasi twamshukuru Mungu bila kukoma, kwa kuwa mlipopokea lile neno la ujumbe la Mungu mlilolisikia kwetu, mlilipokea si kama neno la kibinadamu; bali kama neno la Mungu; na ndivyo lilivyo kweli kweli, litendalo kazi ndani yenu ninyi mnaoamini.


Kwa hiyo mimi nami nilipokuwa siwezi kuvumilia tena, nalimtuma mtu illi niijue imani yenu, asije yule mjaribu akawajaribu, wala taabu yetu isiwe haina faida.


atakapokuja illi kutukuzwa katika watakatifu wake, na kuajabiwa katika wote waaminio (kwa sababu ushuhuda wetu ulisadikiwa kwenu), katika siku ile.


ILIYOBAKI, ndugu, tuombeeni, neno la Bwana liendelee, likatunzwe vilevile kama ilivyo kwenu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo