1 Wathesalonike 1:10 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192110 na kumugojea Mwana wake kutoka mbinguni, ambae alimfufua katika wafu, Yesu, anaetuokoa na ghadhabu itakayokuja. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 na sasa mwamngojea Mwanae ashuke kutoka mbinguni, yaani Yesu, ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu na ambaye anatuokoa katika ghadhabu ya Mungu inayokuja. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 na sasa mwamngojea Mwanae ashuke kutoka mbinguni, yaani Yesu, ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu na ambaye anatuokoa katika ghadhabu ya Mungu inayokuja. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 na sasa mwamngojea Mwanae ashuke kutoka mbinguni, yaani Yesu, ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu na ambaye anatuokoa katika ghadhabu ya Mungu inayokuja. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 na ili kumngojea Mwanawe kutoka mbinguni, ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu: yaani Isa, yeye aliyetuokoa kutoka ghadhabu inayokuja. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 na ili kumngojea Mwanawe kutoka mbinguni, ambaye Mwenyezi Mungu alimfufua kutoka kwa wafu: yaani, Isa, yeye aliyetuokoa kutoka ghadhabu inayokuja. Tazama sura |