1 Wathesalonike 1:1 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19211 PAOLO, na Silwano, na Timotheo, kwa kanisa la Wathessaloniki, katika Mungu Baba, na Bwana Yesu Kristo. Neema na iwe kwenu na amani zitokazo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Mimi Paulo, Silwano na Timotheo, kwa jumuiya ya kanisa la Thesalonike, ambayo ni watu wake Mungu Baba, na wa Bwana Yesu Kristo. Tunawatakieni neema na amani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Mimi Paulo, Silwano na Timotheo, kwa jumuiya ya kanisa la Thesalonike, ambayo ni watu wake Mungu Baba, na wa Bwana Yesu Kristo. Tunawatakieni neema na amani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Mimi Paulo, Silwano na Timotheo, kwa jumuiya ya kanisa la Thesalonike, ambayo ni watu wake Mungu Baba, na wa Bwana Yesu Kristo. Tunawatakieni neema na amani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Paulo, Silvano na Timotheo. Kwa kundi la waumini la Wathesalonike, ninyi mlio ndani ya Mungu, Baba yetu, na ndani ya Bwana wetu Isa Al-Masihi. Neema iwe kwenu na amani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Paulo, Silvano na Timotheo: Kwa kundi la waumini la Wathesalonike, ninyi mlio ndani ya Mungu Baba yetu, na ndani ya Bwana Isa Al-Masihi: Neema iwe kwenu na amani. Tazama sura |