Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 9:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

6 Au je! ni mimi peke yangu na Barnaba tusio na uwezo kutokufanya kazi?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Au ni mimi tu na Barnaba ambao tunapaswa kujipatia maslahi yetu kwa kufanya kazi?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Au ni mimi tu na Barnaba ambao tunapaswa kujipatia maslahi yetu kwa kufanya kazi?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Au ni mimi tu na Barnaba ambao tunapaswa kujipatia maslahi yetu kwa kufanya kazi?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Au ni mimi na Barnaba tu inatubidi kufanya kazi ili tuweze kupata mahitaji yetu?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Au ni mimi na Barnaba tu inatubidi kufanya kazi ili tuweze kupata mahitaji yetu?

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 9:6
15 Marejeleo ya Msalaba  

Khabari hizo za watu hao zikafika masikioni mwa kanisa lililokuwa katika Yerusalemi: wakaintuma Barnaba, aende hatta Antiokia.


Lakini Wayahudi wakawafitinisha wanawake watawa na watu wenye cheo na wakuu wa mji, wakawataharakisha watu wawaudhi Paolo na Barnaba; wakawatoa katika mipaka yao.


Wakamwita Barnaba, Zeu, na Paolo, Herme, kwa sababu ndiye aliyetakadamu katika kimena.


Akafika kwao; na kwa kuwa kazi yake na kazi yao ni moja, akakaa kwao, akafanya kazi yake, kwa maana walikuwa mafundi wa kufanyiza khema.


Na Yusuf, aliyeitwa na mitume Barnaba (tafsiri yake, Mwana wa faraja), Mlawi, asili yake ni mtu wa Kupro,


Lakini mtu aliye yote, akitaka kuleta fitina, sisi hatuna desturi kama hiyo, wala makanisa ya Mungu.


Naliwanyangʼanya makanisa mengine mali yao, nikitwaa posho langu niwakhudumie ninyi.


Maana, ndugu, mnakumbuka taabu yetu na masumbufu yetu; kwa kuwa mchana na usiku tulifanya kazi tusije tukamlemea mtu wa kwenu, tukawakhubirini bivi Injili ya Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo