Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 9:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

3 Jawabu yangu kwa wale wanaoniuliza ni hii.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Hoja yangu kwa wale wanaonipinga ndiyo hii:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Hoja yangu kwa wale wanaonipinga ndiyo hii:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Hoja yangu kwa wale wanaonipinga ndiyo hii:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Huu ndio utetezi wangu kwa hao wanaokaa kunihukumu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Huu ndio utetezi wangu kwa hao wanaokaa kunihukumu.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 9:3
14 Marejeleo ya Msalaba  

Na watakapowapeleka mbele za sunagogi na maliwali na wenye mamlaka, msifadhaike kwa kuwaza jinsi mtakavyojibu au mtakavyosema:


ENYI wanaume, ndugu zangu ua baba zangu, nisikilizeni, nikijitetea nafsi yangu mbele yemi sasa.


Nikawajibu kwamba sio desturi ya Warumi kumtoa mtu aliye yote auawe, kabla mtu yule aliyeshitakiwa hajaonana na washitaki wake uso kwa uso, na kupewa nafasi ya kujitetea katika mashitaka yake.


Mtu akijiona kuwa nabii au mtu wa rohoni, na ayatambue haya ninayowaandikieni, ya kwamba ni maagizo ya Bwana.


Kwa maana ikiwa mimi si mtume kwa wengine, illakini ni mtume kwenu ninyi; kwa maana muhuri ya utume wangu ni ninyi katika Bwana.


Je! hatuna uwezo wa kula na kunywa?


Kwa biyo, naandika liayo nisipokuwapo, illi, nikiwapo, nisitumie ukali kwa kadiri ya uwezo ule niliopewa na Bwana illi kujenga wala si kubomoa.


kwa kuwa mnatafuta dalili ya Kristo, asemae ndani yangu, ambae si dhaifu kwenu, bali ana uweza ndani yenu.


Jijaribuni nafsi zenu kwamba m katika imani; jithubutisheni nafsi zenu. Au bamjijui nafsi zenu, kwamba Yesu Kristo yu ndani yenu isipokuwa mmekataliwa?


na hawa wengine kwa pendo, wakijua ya kuwa nimewekwa illi niitetee Injili.


kama ilivyo wajib wangu kufikiri haya juu yenu nyote; kwa sababu ninyi mmo moyoni mwangu; kwa kuwa katika kufungwa kwangu na katika kazi ya kuitetea Injili na kuithubutisha, ninyi nyote mmeshirikiana nami neema hii.


Katika jawabu yangu ya kwauza hakuna mtu aliyesimama pamoja nami, bali wote waliniacha; wasihesabiwe khatiya kwa jambo bili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo