Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 9:23 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

23 Nami nafanya haya yote kwa ajili ya Injili nipate kuishiriki pamoja na wengine.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Nafanya haya yote kwa ajili ya Injili, nipate kushiriki baraka zake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Nafanya haya yote kwa ajili ya Injili, nipate kushiriki baraka zake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Nafanya haya yote kwa ajili ya Injili, nipate kushiriki baraka zake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Nafanya haya yote kwa ajili ya Injili, ili nipate kushiriki baraka zake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Nafanya haya yote kwa ajili ya Injili, ili nipate kushiriki baraka zake.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 9:23
14 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana atakae kuisalimisha roho yake, ataiangamiza, na mtu atakaeitoa roho yake kwa ajili yangu na kwa ajili ya injili, huyu ataisalimisha.


Lakini iwapo matawi mengine yamekatiwa, na wewe mzeituni mwitu ulitiwa kati yao ukawa mshirika wa shina la mzeituni na unono wake,


Ikiwa wengine wanashiriki uwezo huu juu yenu, sisi si zaidi? Lakini hatukuutumia uwezo huu; bali twayavumilia mambo yote tusije tukaizuia Injili ya Kristo.


Kwa wanyonge nalikuwa mnyonge, illi niwapate wanyonge. Nalikuwa mtu wa hali zote kwa watu wote, illi nipate kuwaokoa watu kwa njia zote.


Hamjui, ya kuwa washindanao kwa kupiga mbio, hupiga mbio wote, lakini apokeao tunzo ni mmoja? Pigeni mbio namna hiyo, illi mpate.


Maana katika shidda nyingi na dhiiki ya moyo niliwaandikieni nikitoka machozi mengi; si kwamba mhuzunishwe, bali mpate kujua upendo wangu nilio nao kwenu jinsi ulivyo mwingi.


Hao waliingia kwa siri wapate kuupeleleza uhuru wetu tulio nao katika Yesu Kristo illi watutie utumwani: ambao hatta saa moja hatukujitia chini yao, illi kweli ya Injili ikae pamoja nanyi.


Kwa ajili ya hilo nastahimili yote, kwa ajili ya wateule, wao nao waupate wokofu ulio katika Kristo Yesu pamoja ua utukufu wa milele.


Yampasa mkulima mwenye taabu ya kazi kuwa wa kwanza wa kuyashiriki matunda.


KWA hiyo, ndugu watakatifu, wenye kuushiriki wito wa mbinguni, mtafakarini sana Mtume na Kuhani Mkuu wa maungamo yetu,


Kwa maana tumekuwa washirika wa Kristo, kama tukishikamana na mwanzo wa uthabiti wetu mpaka mwisho;


NAWASIHI wazee walio kwenu, mimi niliye mzee, mwenzi wao, na shahidi wa mateso ya Kristo, na mshirika wa utukufu utakaofunuliwa baadae;


tuliyoiona na kuisikia, twawakhubiri ninyi; ninyi nanyi mpate kushirikiana na sisi: na ushirika wetu ni pamoja na Baba, na pamoja na Mwana wake Yesu Kristo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo