Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 9:22 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

22 Kwa wanyonge nalikuwa mnyonge, illi niwapate wanyonge. Nalikuwa mtu wa hali zote kwa watu wote, illi nipate kuwaokoa watu kwa njia zote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Kwao walio dhaifu nimejifanya dhaifu ili niwapate hao walio dhaifu. Nimejifanya kila kitu kwa wote ili nipate kuwaokoa baadhi yao kwa kila njia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Kwao walio dhaifu nimejifanya dhaifu ili niwapate hao walio dhaifu. Nimejifanya kila kitu kwa wote ili nipate kuwaokoa baadhi yao kwa kila njia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Kwao walio dhaifu nimejifanya dhaifu ili niwapate hao walio dhaifu. Nimejifanya kila kitu kwa wote ili nipate kuwaokoa baadhi yao kwa kila njia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Kwa walio dhaifu nilikuwa dhaifu, ili niweze kuwapata walio dhaifu. Nimekuwa mtu wa hali zote kwa watu wote ili kwa njia yoyote niweze kuwaokoa baadhi yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Kwa walio dhaifu nilikuwa dhaifu, ili niweze kuwapata walio dhaifu. Nimekuwa mtu wa hali zote kwa watu wote ili kwa njia yoyote niweze kuwaokoa baadhi yao.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 9:22
12 Marejeleo ya Msalaba  

Huenda nikapata kuwatia wivu walio damu moja na mimi na kuwaokoa baadhi vao.


LAKINI yeye aliye dhaifu wa imani, mkaribisheni, illakini msimhukumu mawazo yake.


Mtu mmoja ana imani, anakula vyote, lakini yeye aliye dhaifu hula mboga.


BASSI imetupasa sisi tulio na nguvu kuuchukua udhaifu wao wasio na nguvu, wala haitupasi kujipendeza nafsi zetu.


Killa mtu miongoni mwetu ampendeze jirani yake apate wema akajengwe.


vile vile kama mimi niwapendezavyo watu wote katika mambo yote, nisitake faida yangu mwenyewe, bali faida yao walio wengi, wapafe kuokolewa.


Lakini Mungu ametuita katika amani. Kwa maana wajuaje, ee mwanamke, kama ntamwokoa mume wako? au wajuaje ee mwanamume, kama utamwokoa mke wako?


Kwa hiyo, chakula kikimkosesha ndugu yangu, sitakula nyama hatta milele, nisije nikamkwaza ndugu yangu.


Maana, ingawa nimekuwa huru kwa watu wote, nalijifanya mtumwa wa wote, illi nipate watu wengi zaidi.


Nami nafanya haya yote kwa ajili ya Injili nipate kuishiriki pamoja na wengine.


Nani aliye dhaifu, nisiwe dhaifu na mimi? Nani aliyechukizwa na mimi nisiwake?


NDUGU, mtu ajapogbafilika katika kosa lo lote, ninyi mlio wa Roho mrudini mtu kama huyo kwa roho ya upole, ukijiangalia nafsi yako nsijaribiwe wewe mwenyewe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo