1 Wakorintho 9:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192114 Na Bwana vivyo hivyo ameamuru kwamba wale waikhubirio Injili wamzukiwe kwa Injili. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Bwana aliagiza vivyo hivyo; wahubiri wa Habari Njema wapate riziki zao kutokana nayo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Bwana aliagiza vivyo hivyo; wahubiri wa Habari Njema wapate riziki zao kutokana nayo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Bwana aliagiza vivyo hivyo; wahubiri wa Habari Njema wapate riziki zao kutokana nayo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Vivyo hivyo, Bwana Isa ameamuru kwamba wale wanaohubiri Injili wapate riziki yao kutokana na Injili. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Vivyo hivyo, Bwana Isa ameamuru kwamba wale wanaohubiri Injili wapate riziki yao kutokana na Injili. Tazama sura |