Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 8:2 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

2 Mtu akidhani ya kuwa anajua neno, hajui neno lo lote bado, kama impasavyo kujua.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Anayefikiri kwamba anajua kitu, kwa kweli hajui chochote kama inavyompasa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Anayefikiri kwamba anajua kitu, kwa kweli hajui chochote kama inavyompasa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Anayefikiri kwamba anajua kitu, kwa kweli hajui chochote kama inavyompasa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Mtu yeyote anayedhani kwamba anajua kitu, bado hajui kama impasavyo kujua.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Mtu yeyote anayedhani kwamba anajua kitu, bado hajui kama impasavyo kujua.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 8:2
9 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana sitaki ndugu msiijue siri hii, ms jione kuwa wenye akili, ya kwamba kwa sehemu ugumu umewapata Israeli, mpaka ntimilifu wa mataifa uwasili;


Maana wakati wa sasa tunaona kwa kioo kwa jinsi ya fumbo; wakati ule uso kwa uso: wakati wa sasa nafahamu kwa sehemu; wakati ule nitajua sana jinsi ninavyojuliwa na mimi sana.


Mtu asijidanganye nafsi yake: kama mtu akijiona kuwa mweuye hekima kati yeuu katika dunia hii, na awe mpumbavu, apate kuwa mwenye hekima.


Maana mtu akijiona kuwa kitu, nae si kitu, ajidanganya nafsi yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo