Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 7:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

6 Lakini nasema haya, nikitoa idhini yangu; sitoi amri.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Ninayowaambieni sasa ni mawaidha, si amri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Ninayowaambieni sasa ni mawaidha, si amri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Ninayowaambieni sasa ni mawaidha, si amri.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Nasema haya kama ushauri na si amri.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Nasema haya kama ushauri na si amri.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 7:6
6 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini wale waliokwisha kuoana nawaagiza, wala si mimi, illa Bwana, mke asiachane na mumewe;


Lakini watu wengine nawaambia mimi, wala si Bwana; ya kwamba iwapo ndugu mmoja ana mke asiyeamini, na mke buyo anakubali kukaa nae, asimwache.


Kwa khabari za mabikira sina amri ya Bwana, lakini natoa shauri langu, mimi niliyejaliwa kuwa mwaminifu kwa rehema za Bwana.


Lakini yu kheri zaidi akikaa kama alivyo; ndivyo nionavyo mimi; nami nadhani ya kuwa mimi nami nina Roho ya Bwana.


Nisemalo silisemi agizo la Bwana, bali kama kwa upumbavu, katika ujasiri huu wa kujisifu.


Sineni illi kuwaamuru, bali kwa bidii ya watu wengine nijaribu unyofu wa upendo wenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo